STAA wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amekiri kuwa huwa anatumia sigara ‘fegi’ ili kuondoa mawazo.
Wema alifunguka hayo juzikati kupitia kipindi chake cha In My Shoes kinachorushwa na Runinga ya East Africa ambapo alikuwa akifungukia maisha yake likiwemo suala hilo la kuvuta sigara.
“Huwa navuta sigara pindi ninapokuwa na mawazo, nikivuta huwa inanisaidia kupunguza na kunifanya niwe vizuri,” alisema Wema.
Burkina Faso: Makundi yenye silaha yaendelea kufanya ugaidi kwa raia
-
Makundi yenye silaha yenye mafungamano na al-Qaeda na ISIS (ISIS)
yamezidisha mashambulizi dhidi ya raia nchini Burkina Faso, Human Rights
Watch (HRW) im...
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment