Picha:Yaliyojiri kwenye uzinduzi wa video ya wimbo mpya wa Diamond Platinum 'Number One
Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul aka Diamond Platinum jana alizindua video ya wimbo wake mpya 'Number One' kwenye hoteli ya kifahari 'Serena Hotel' iliyopo jijini Dar es Salaam.
Katika uzinduzi huo pia Diamond alimpa zawadi ya gari Msanii Mkongwe Ngurumo aliyetangaza kustaafu siku za hivi karibuni.
Diamond alisema amesikitishwa sana baada ya kusikia <class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
Burkina Faso: Makundi yenye silaha yaendelea kufanya ugaidi kwa raia
-
Makundi yenye silaha yenye mafungamano na al-Qaeda na ISIS (ISIS)
yamezidisha mashambulizi dhidi ya raia nchini Burkina Faso, Human Rights
Watch (HRW) im...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment