Thursday, October 17, 2013

Kocha wa Azam FC, Stewart Hall.

Na Khatimu Naheka
KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amezichambua Simba na Yanga, lakini akaeleza sababu mbili zitakazokinufaisha kikosi cha Yanga katika mchezo baina ya timu hizo keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar.
Stewart ameliambia gazeti hili kuwa vikosi vya Simba na Yanga vina tofauti kubwa, ambapo Wekundu hao bado hawajafanikiwa kucheza vema, jambao ambalo vinaweza kuwapa wakati mgumu katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara.
“Timu zote ni nzuri, lakini Simba naiona kama mpya yenye vijana wengi na kocha mpya, mpaka sasa bado hawajaweza kufikia ubora ule unaotegemewa na wengi,” alisema Stewart.

0 comments:

Post a Comment

Other blogs

Copyright ©2013 Gabriel Fredy . Powered by Blogger.

Total Pageviews

GABRIEL FREDY

SELECT LANGUAGE

DIEGO COSTA'S GOAL ON CHELSEA

Popular Posts