Kocha wa Azam FC, Stewart Hall.
Na Khatimu Naheka
KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amezichambua Simba na Yanga, lakini akaeleza sababu mbili zitakazokinufaisha kikosi cha Yanga katika mchezo baina ya timu hizo keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar.
Stewart ameliambia gazeti hili kuwa vikosi vya Simba na Yanga vina tofauti kubwa, ambapo Wekundu hao bado hawajafanikiwa kucheza vema, jambao ambalo vinaweza kuwapa wakati mgumu katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara.
“Timu zote ni nzuri, lakini Simba naiona kama mpya yenye vijana wengi na kocha mpya, mpaka sasa bado hawajaweza kufikia ubora ule unaotegemewa na wengi,” alisema Stewart.
Mchezaji wa zamani wa Arsenal Jay Emmanuel-Thomas ashtakiwa kwa njama ya
kuingiza bangi nchini Uingereza
-
Mshambulizi wa zamani wa Arsenal Jay Emmanuel-Thomas ameshtakiwa kwa madai
ya njama ya kusafirisha bangi ya pauni 600,000 hadi Uingereza. Maafisa wa
Kiko...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment